NEMC yasaini makubaliano ya awali na Kampuni ya United Platform Solution (UPS) kwa ajili ya kuanzisha mfumo wa kidigitali wa ufuatiliaji wa uchafuzi wa mazingira katika miradi yote ya maendeleo nchini. Makubaliano hayo yamefanyika Disemba 04, 2025 katika ukumbi wa mikutano NEMC.
MatokeoChanya
December 4, 2025
BUNGE LA TANZANIA, CCM, Matokeo ChanyA+, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN, Tanzania, Tanzania MpyA+
142 Imeonekana