Tanzania imefanya maendeleo makubwa katika miradi ya maji, na hadi sasa, miradi mingi imekamilika ili kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi katika maeneo mbalimbali. Hapa kuna takwimu na taarifa za baadhi ya miradi ya maji iliyokamilika. Miradi ya Maji Vijijini: Zaidi ya miradi 1,500 imekamilika katika vijiji, …
Soma zaidi »Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amefungua na kushiriki hafla ya kumbukizi ya miaka mitano ya Women’s Health Talk Event iliyofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Mkoani Dar es Salaam
Pamoja na mambo mengine, Dkt. Tulia amewasisitiza washiriki wa hafla hiyo kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 ili kupata Viongozi sahihi kwa maslahi ya taifa.
Soma zaidi »“Ni kwa namna gani ujenzi wa shule umechangia kuboresha mazingira ya elimu na kukuza vipaji?
“Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwa serikali yetu chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan na Mheshimiwa Mbunge Jenista Mhagama kwa jitihada kubwa walizoweka katika ujenzi wa shule yetu. Ujenzi huu umekuwa neema kwa sisi wanafunzi, kwani umeboresha mazingira yetu ya kujifunza. Tunajivunia pia kushirikishwa katika Tamasha la Utamaduni …
Soma zaidi »Mbunge Mstaafu wa Ngorongoro Ahamia Msomela, Afurahishwa na Mazingira Rafiki Kwa Ufugaji na Kilimo..
Uamuzi wa Mbunge Mstaafu kuhamia Msomela unatokana na kutafuta fursa bora zaidi kwa ajili ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi, ambapo mazingira ya eneo hilo yanampa nafasi nzuri ya kuendesha shughuli zake za kilimo na ufugaji kwa mafanikio zaidi. Pia, inaonesha mabadiliko yanayotokea katika mikoa mbalimbali ya Tanzania, ambapo watu …
Soma zaidi »DKT. TULIA ASISITIZA UMUHIMU WA USALAMA DUNIANI NA MAENDELEO YA PAMOJA
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amesema kuwa upo umuhimu mkubwa wa nchi mbalimbali hususani zile zinazounda Umoja wa G7 kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika kutafuta usalama duniani na maendeleo ya pamoja na kwamba …
Soma zaidi »Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amewasili Verona, nchini Italia ambako anatarajia kushiriki katika Mkutano wa 22 wa Maspika wa Mabunge ya nchi za G7
Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika nchini humo kuanzia tarehe 5 hadi 8 Septemba, 2024. Mhe. Dkt. Tulia ataiwakilisha IPU katika Mkutano huo ambapo ujumbe mkuu atakaouwasilisha ni umuhimu wa ushirikiano wa Kimataifa miongoni mwa nchi zote duniani katika kutekeleza na kufikia Malengo ya Maendeleo Endelevu kwa pamoja.
Soma zaidi »Rais Samia Suluhu Hassan Akiwa Beijing
Rais Samia Suluhu Hassan @SuluhuSamia alikutana na Rais Xi Jinping huko Beijing. Rais Xi alieleza utayari wa China kuimarisha zaidi uhusiano na Tanzania ili kutoa mfano bora wa mahusiano kati ya China na Afrika na ushirikiano kati ya mataifa ya Kusini mwa Dunia.
Soma zaidi »Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete amekutana na kuzungumza na Viongozi wa Ofisi hiyo, Wakurugenzi Wakuu wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (NSSF, PSSSF na WCF) pamoja na watendaji Bungeni jijini Dodoma
Mbunge wa kuteuliwa na Rais na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amemuandikia Spika wa Bunge la Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson barua ya kujiuzulu Ubunge leo
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 19 Julai, 2024 amewasili Jijini Delhi Nchini India kwa ziara ya kikazi.
Dkt. Tulia amepokelewa na Mkuu wa Itifaki wa Bunge la India, Balozi Anjani Kumar pamoja na Balozi wa Tanzania Nchini India, Mhe. Anisa Mbega ambapo anatarajia kutembelea Bunge la Nchi hiyo na kutoa Mhadhara kuhusu Demokrasia na Diplomasia ya Kibunge mapema wiki ijayo.
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+