Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Mgombea Urais wa Tanzania kwa Uchaguzi Mkuu wa 2025, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi kampeni za CCM kupitia tiketi ya chama hicho leo tarehe 28 Agosti 2025, katika Viwanja vya Tanganyika Peckers, Kawe โ Dar es Salaam. Katika uzinduzi huu, …
Soma zaidi »DKT. SAMIA AANZA RASMI SAFARI YA UCHAGUZI โ ACHUKUA FOMU NEC KWA USHINDI WA CCM
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, amechukua rasmi fomu ya uteuzi katika Tume Huru ya Uchaguzi, kuashiria mwanzo wa safari ya uchaguzi kwa chama tawala. Tukio hili limehudhuriwa na viongozi waandamizi wa CCM, wafuasi, na wananchi …
Soma zaidi »MHE. RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI KONGAMANO LA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akishiriki Kongamano la Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam, leo 24 Agosti, 2025.
Soma zaidi »MHE. RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI KONGAMANO LA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akishiriki Kongamano la Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam, leo 24 Agosti, 2025.
Soma zaidi »WHEN THE POWER OF LOVE OVERCOMES LOVE OF POWER TATIZO LINAKUWEPO – RAIS . DKT. SAMIA
๐น๐ฟ Tanzania yenye amani ni Tanzania yenye maendeleo. ๐ Chagua njia za amani, changia mshikamano wa taifa letu. #Amani #Utulivu #Tanzania #Peace #unity
Soma zaidi »TUMETENGENEZA UTAMADUNI WA DEMOKRASIA YA UCHAGUZI NI KUTUNZA AMANI KABLA NA BAADA YA UCHAGUZI.
“Tumetengeneza utamaduni wa demokrasia ya uchaguzi, na sehemu ya utamaduni huo ni kutunza amani kabla na baada ya uchaguzi.” โ Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Ujumbe huu unasisitiza thamani ya demokrasia tuliyoijenga kama taifa. Uchaguzi siyo tu kura, bali pia ni utamaduni wa kuheshimiana, mshikamano na kulinda amani ya nchi …
Soma zaidi »TUNAPOKUSANYA KUOMBA , MUNGU ATAPOKEA SWALA ZETU, DUA ZETU IKIWA NYOYO ZETU ZINA AMANI – RAIS. SAMIA
“Tunapokusanyika kwa pamoja kuomba, Mungu hupokea sala zetu na dua zetu pale mioyo yetu inapokuwa na amani.” โ Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Ujumbe huu unatufundisha kuwa maombi yenye nguvu yanatoka kwenye nyoyo tulivu, zenye upendo na mshikamano. Amani ndani yetu hutengeneza njia ya maombi kupokelewa kwa baraka tele. Huu …
Soma zaidi »NCHI YETU KWANZA NA SISI BINAFSI ZETU BAADAE – MHE. RAIS . DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
๐น๐ฟ Tanzania yenye amani ni Tanzania yenye maendeleo. ๐ Chagua njia za amani, changia mshikamano wa taifa letu. #Amani #Utulivu #Tanzania #Peace #Unity
Soma zaidi »KIPINDI CHA UCHAGUZI UPANDISHA JOTO LA KISIASA NCHINI – RAIS .DKT. SAMIA
๐น๐ฟ Tanzania yenye amani ni Tanzania yenye maendeleo. ๐ Chagua njia za amani, changia mshikamano wa taifa letu. #Amani #Utulivu #Tanzania #Peace #Unity
Soma zaidi »DIRA IMEBEBA NDOTO NA MATARAJIO YA WATANZANIA – RAIS DKT SAMIA SULUHU
Kauli hii ni mwendelezo wa wito wa kizalendo unaotufundisha kwamba dira ya taifa letu haijabaki kwenye karatasi pekee, bali imebeba ndoto, matumaini na matarajio ya kila Mtanzania. Ndoto ya maendeleo, ustawi wa jamii na umoja wa taifa letu. Katika hotuba hii, Rais Samia anasisitiza mshikamano, mshikikano wa kazi na mshirikiano …
Soma zaidi »