MatokeoChanya

MAMLAKA YA KUPAMBANA NA KUDHIBITI DAWA ZA KULEVYA KUSAMEHE WATAKAO KIRI KUFANYA BIASHARA HIYO

Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya, Aretas Lyimo, ametangaza msamaha kwa wote watakaojisalimisha na kukiri kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya, alipokuwa akiteketeza tani 4.402 za dawa za kulevya katika zoezi lililofanyika Oktoba 3, 2025, katika kiwanda cha saruji cha Twiga kilichopo Wazo, jijini …

Soma zaidi »

ELIZABETH SAIMON MZURINGI ALIANZA NA MTAJI WA LAKI 2 TU,KWA KWA MSAADA WA TADB SI YULE TENAmp4

Elizabeth alianza safari yake ya ujasiriamali akiwa na mtaji mdogo sana – laki mbili tu (200,000/=). Kwa macho ya wengi, hii ingekuwa ndoto ngumu kufanikisha. Lakini Elizabeth aliamua kuthubutu, kuamini kwenye ndoto zake na kuanza kidogo alichokuwa nacho. Safari yake haikuwa rahisi. Kama vijana wengi wa Kitanzania, changamoto zilikuwa nyingi …

Soma zaidi »