Mkina amewaasa washiriki wazingatie mafunzo waliyoyapata na kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria za uchaguzi ili kufanikisha uchaguzi huo. Amewasisitiza kuzingatia viapo walivyoapa, kuzingatia ujazaji wa fomu za uchaguzi katika hatua zote za uchaguzi ili kuepuka changamoto zinazoweza kujitokeza na kwamba inapotokea changamoto katika vituo washirikiane kuzitatua ili …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+