Kwa kuwa umwagiliaji ni msingi wa uzalishaji endelevu wa kilimo, TZS 299.96 bilioni zilitengwa kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya umwagiliaji, lengo likiwa ni kufikia hekta milioni 1.2 za ardhi inayomwagiliwa ifikapo mwaka 2025
MatokeoChanya
October 31, 2024
CCM, Matokeo ChanyA+, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN, Tanzania, Tanzania MpyA+, WIZARA YA KILIMO
314 Imeonekana