Kwa kuwa umwagiliaji ni msingi wa uzalishaji endelevu wa kilimo, TZS 299.96 bilioni zilitengwa kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya umwagiliaji, lengo likiwa ni kufikia hekta milioni 1.2 za ardhi inayomwagiliwa ifikapo mwaka 2025

#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #Kilimo

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *