Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan akiapishwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. George Mcheche Masaju kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Gwaride Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba, 2025.
MatokeoChanya
November 5, 2025
CCM, JIJI LA DODOMA, Matokeo ChanyA+, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN, Tanzania, Tanzania MpyA+
152 Imeonekana