๐Ÿ”ด LIVE: UZINDUZI WA DIRA MPYA YA MAENDELEO YA TAIFA NA MHE, RAIS DKT. SAMIA | JULAI 17, 2025 DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza hafla ya uzinduzi rasmi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo baada ya 2025 leo tarehe 17 Julai, 2025, jijini Dodoma.

Tazama tukio hili la kihistoria linaloashiria mwelekeo mpya wa maendeleo ya taifa letu kwa miongo ijayo. Katika hotuba yake, Mhe. Rais Samia ameeleza maono, mikakati na matarajio ya kujenga Tanzania ya viwanda, ya watu waliowezeshwa na mazingira rafiki kwa ustawi wa taifa.

Usikose kuangalia, kushiriki na kusambaza ujumbe huu wa matumaini kwa Watanzania wote!

#Dira2025 #RaisSamia #MaendeleoYaTanzania #Dodoma #UzinduziRasmi #TanzaniaMpya

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA AZUNGUMZA MARA BAADA YA KUAPISHA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI

Leo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa hotuba muhimu …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *