Maktaba ya Mwaka: 2024
RAIS SAMIA AMUAPISHA DKT. DAMAS NDUMBARO KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuapisha Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 10 Desemba, 2024.
Soma zaidi »Uzinduzi huu ni hatua muhimu katika kutekeleza misingi ya Katiba ya Tanzania, hasa katika kuhakikisha haki, usawa, na uwajibikaji wa kisheria
Kampeni hii si tu inaleta msaada wa kisheria bali pia inaimarisha misingi ya demokrasia na utawala bora nchini Tanzania.
Soma zaidi »“NENDA KAANZIE PALE ALIPOREKEBISHA BASHUNGWA, NA UENDELEZE WIZARA YA UJENZI VIZURI” Rais Dkt Samia
“NATARAJIA SASA KILE KITI UTAKIACHA NA UTASHUKA NA WATAALAMU KWENYE FILD UKAFANYE KAZI YAKO”
Haya ni maelekezo makini na yenye msisitizo kutoka kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Bi Aisha. Rais anaonyesha umuhimu wa mawaziri kushuka hadi ngazi za chini ili kushirikiana moja kwa moja na wananchi na wataalamu kwenye sekta husika, hasa katika utekelezaji wa miradi na …
Soma zaidi »MHE. MASAUNI TWENDE UKAIMARISHE MUUNGANO WETU, NI CV YAKO NYINGINE, PIA KAIMARISHE JIMBO KIKWAJUNI.
Ni mafanikio gani makubwa ambayo Watanzania wanapaswa kujivunia tangu kupata Uhuru?
MIAKA 63 YA UHURU WA TANGANYIKA
RAIS SAMIA ANASHIRIKI KWENYE MJADALA WA WAKUU WA NCHI AFRIKA MASHARIKI
Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ameongoza Mkutano wa 24 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) uliofanyika jijini Arusha. Mkutano huu umewaleta pamoja viongozi wa nchi wanachama kujadili masuala muhimu yanayoathiri kanda na mustakabali wa jumuiya. Mantiki ya Mjadala: Ufadhili Endelevu wa Jumuiya: Wakuu …
Soma zaidi »MIAKA 63 YA UHURU WETU MAANDAMANO MAKUBWA YAKIFUATIWA NA KULIOMBEA TAIFA MKOANI ARUSHA
Katika kuadhimisha miaka 63 tangu Tanganyika ipate uhuru wake tarehe 9 Desemba 1961, mkoa wa Arusha umeandika historia kwa kushuhudia maandamano makubwa na maombi maalum ya kuliombea taifa. Tukio hili, lililovuta hisia za wengi, limeleta pamoja maelfu ya wananchi kutoka makundi mbalimbali ya kijamii, wakiwemo viongozi wa dini, serikali, wanaharakati, …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+