Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewleza kuwa Tanzania imesambaza umeme katika vijiji karibia 12,300 kama hatua ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, wakati wa Maadhimisho ya Miaka 25 ya Jumuiya ya Aftika Mashariki.
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewleza kuwa Tanzania imesambaza umeme katika vijiji karibia 12,300 kama hatua ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, wakati wa Maadhimisho ya Miaka 25 ya Jumuiya ya Aftika Mashariki.