TANZANIA IMESAMBAZA UMEME VIJIJI 12,300 ILI KULINDA MAZINGIRA

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewleza kuwa Tanzania imesambaza umeme katika vijiji karibia 12,300 kama hatua ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, wakati wa Maadhimisho ya Miaka 25 ya Jumuiya ya Aftika Mashariki.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *