Ninatoa shukrani zangu za dhati kwa Rais Lula da Silva kwa mwaliko na ukarimu wa hali ya juu. Leo, tunajikuta katika dunia iliyojaa utajiri wa rasilimali lakini bado Afrika inakumbwa na viwango vya umasikini, njaa, magonjwa, utapiamlo, na uzalishaji hafifu visivyoweza kudumishwa. Dunia ambako idadi kubwa ya vijana wanakabiliana na …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+