Wapendwa Watanzania wenzangu, wakati wa kuchagua viongozi wetu unakaribia. Ni fursa adhimu na ya kipekee kwa kila mmoja wetu kuamua mustakabali wa taifa letu. Kupiga kura ni haki yetu ya msingi, lakini zaidi ya haki ni wajibu wa kila mmoja katika kujenga Tanzania tunayoitaka.
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+