Aidha, Rais Dkt. Samia ametoa wito kwa Wenza hao viongozi kutumia ushawishi walionao kuunga mkono ajenda ya matumizi ya Nishati Safi ya kupikia katika nchi zao.

Aidha, Rais Dkt. Samia ametoa wito kwa Wenza hao viongozi kutumia ushawishi walionao kuunga mkono ajenda ya matumizi ya Nishati Safi ya kupikia katika nchi zao.
