Recent Posts

Utekelezaji na Uendelezaji wa Jiji la Kilimo Mkulazi – Morogoro

Katika hatua nzuri ya utekelezaji, eneo la uwekezaji la Jiji la Kilimo Mkulazi linaendelea kuandaliwa. Kampuni za Longping na Eagle Hills tayari zimekamilisha usafishaji wa mashamba na zinatarajia kuanza upandaji hivi karibuni. Jiji la Kilimo Mkulazi linatarajiwa kuleta manufaa yafuatayo: Mtaji wa Uwekezaji: Milioni 576 USD Uzalishaji wa Sukari: Tani …

Soma zaidi »