Recent Posts

VIJANA NJOONI TUYAJENGE,TANZANIA NI YETU -SAME MASHARIKI

Kauli hii ni wito wa kizalendo unaolenga kuhamasisha vijana kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa. Ina ujumbe mzito wa uwajibikaji, umoja, na matumaini ya baadaye ya Tanzania. Maana yake kwa ufupi: “Vijana njooni” – Ni mwaliko na mwito kwa vijana wote wa Tanzania wajitokeze, wasibaki pembeni. “Tuyajenge” – Inasisitiza kushirikiana kwa vitendo katika …

Soma zaidi »

NINI KIFANYIKE VIZAZI VIJAVYO KUENDELEA KUFAHAMU MASWALA YA MUUNGANO?

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, amesema Mpango wa Elimu kwa Umma Kuhusu Muungano utaendelea kutekelezwa kwa uwazi na ushirikiano mpana ili kuhakikisha elimu hiyo inawafikia Watanzania wote, hususan vijana. Akizungumza Desemba 19, 2025 katika kipindi cha Asubuhi Njema kinachorushwa na ZBC, Waziri …

Soma zaidi »

NA HUU NDIO MPANGO WA ELIMU KWA UMMA KUHUSU MUUNGANO.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema Mpango wa Elimu kwa Umma Kuhusu Muungano utaendelea kuwa endelevu ili kuhakikisha elimu hiyo inawafikia wananchi wote, hususan vijana. Akizungumza Desemba 19, 2025 katika kipindi cha Asubuhi Njema kinachorushwa na ZBC, Mhe. Masauni amesema Waandishi wa …

Soma zaidi »