Recent Posts

TADB YAENDELEA KUWANUFAISHA VIJANA KUPITIA MIKOPO NA UWEZESHAJI

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania @TADB imeendelea kuwa mdau muhimu katika kuwawezesha vijana kushiriki kikamilifu kwenye kilimo, ufugaji, uvuvi na kuongeza thamani ya mazao. Kupitia mikopo na programu maalum za uwezeshaji, TADB inalenga kuwafanya vijana waone kilimo kama biashara yenye faida, si shughuli ya kujikimu tu. 1. Mikopo Rafiki …

Soma zaidi »

🔴 LIVE: UZINDUZI RASMI WA VIJANA PLATFORM | JNICC – 10 JANUARI SAA 2:00 ASB

Karibu ufuatilie uzinduzi rasmi wa Vijana Platform, jukwaa maalum linalolenga kuimarisha ushiriki wa vijana katika maendeleo ya taifa kupitia taarifa, elimu, ubunifu, na fursa mbalimbali. Hafla hii ya kihistoria inafanyika tarehe 10 Januari katika Ukumbi wa JNICC, ikiwaleta pamoja viongozi wa serikali, wadau wa maendeleo, na vijana kutoka maeneo mbalimbali …

Soma zaidi »