🔴LIVE: SIKU YA SHERIA NCHINI 2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini, 2026, yenye kauli mbiu:

“Mchango wa Mahakama katika Ustawi na Maendeleo ya Taifa.”

📅 Tarehe: 2 Februari, 2026 📍

Mahali: Makao Makuu ya Mahakama – Dodoma Mahakama ya Tanzania inawaalika wananchi wote kushiriki katika maadhimisho haya muhimu kwa ustawi wa Haki na maendeleo ya Taifa.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *