SERIKALI IMEAHIDI KULIFANYIA KAZI SWALA LA MABADILIKO YA KATIBA – RAIS. DKT. SAMIA
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaendelea kulipa kipaumbele suala la mabadiliko ya Katiba na kwamba hatua mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ili kufikia mwafaka unaokubalika kwa Watanzania wote. #kilimobiashara #tanzania #wakulima #fursazakilimo #africa #kilimobora #katibampya #KATIBAYATANZANIA #tanzania #samiasuluhu
Soma zaidi »MAMLAKA YA KUPAMBANA NA KUDHIBITI DAWA ZA KULEVYA KUSAMEHE WATAKAO KIRI KUFANYA BIASHARA HIYO
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya, Aretas Lyimo, ametangaza msamaha kwa wote watakaojisalimisha na kukiri kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya, alipokuwa akiteketeza tani 4.402 za dawa za kulevya katika zoezi lililofanyika Oktoba 3, 2025, katika kiwanda cha saruji cha Twiga kilichopo Wazo, jijini …
Soma zaidi »WITO KWA WAGOMBEA KUTII SHERIA
WITO WA KUTII SHERIA KWA WAGOMBEA WOTE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 27 Agosti, 2025.
WAKILI MSOMI NA RAIS WA TLS MWAMBUKUSI AWASHUKIA WAZEE WA NCHI HII,NI WAKATI WAO KULINUSURU TAIFA
Katika hali ya sasa ya kisiasa nchini, ambapo mijadala kuhusu mwelekeo wa uchaguzi mkuu ujao imeanza kuchukua nafasi kubwa, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, ametoa wito mzito kwa taifa: kuitishwa kwa dharura kwa kikao cha Wazee wa Taifa. Lengo kuu ni kutafuta maridhiano ya kitaifa …
Soma zaidi »TATIZO SIO KATIBA MPYA, NI MITAZAMO (ATTITUDE) – WAKILI BONIFACE MWABUKUSI
Rais wa TLS, Wakili Boniface Mwabukusi, anatoa mtazamo tofauti kuhusu changamoto za taifa. Anasisitiza kuwa hoja si kuandika Katiba mpya tu, bali ni kuongozwa na mitazamo sahihi ya kiuongozi, maadili, na uzalendo. ▶️ Sikiliza kauli hii yenye kutikisa fikra za kawaida. 🔔 Subscribe ili kupata maoni ya ujenzi wa Taifa …
Soma zaidi »TUOMBE KWA AJILI YA TAIFA LETU – BONIFACE MWABUKUSI
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, ametoa wito wa kitaifa wa maombi kwa ajili ya Tanzania, akiwasihi Watanzania wote kumgeukia Mungu kwa unyenyekevu na toba ili taifa lirudi katika mstari wake sahihi wa haki, maadili, umoja na heshima. Katika ujumbe wake, alioutoa kwa sauti ya matumaini …
Soma zaidi »MAMLAKA YA KUDHIBITI DAWA ZA KULEVYA YATUMIA NGUZO KUU NNE KUPAMBANA NA JANGA LA DAWA ZA KULEVYA
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya matumizi na usambazaji wa dawa za kulevya nchini. DCEA inatekeleza jukumu hili kwa kutumia nguzo kuu nne ambazo ni: kupunguza upatikanaji wa dawa za kulevya, kupunguza uhitaji, kudhibiti madhara na kuimarisha ushirikiano …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+