TATIZO SIO KATIBA MPYA, NI MITAZAMO (ATTITUDE) – WAKILI BONIFACE MWABUKUSI

Rais wa TLS, Wakili Boniface Mwabukusi, anatoa mtazamo tofauti kuhusu changamoto za taifa. Anasisitiza kuwa hoja si kuandika Katiba mpya tu, bali ni kuongozwa na mitazamo sahihi ya kiuongozi, maadili, na uzalendo.

▶️ Sikiliza kauli hii yenye kutikisa fikra za kawaida.

🔔 Subscribe ili kupata maoni ya ujenzi wa Taifa letu.

#TLS #KatibaMpya #Mwabukusi #UongoziBora #MitazamoSahihi #Maadili

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *