OFISI YA WAZIRI MKUU SERA, BUNGE, KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA KONGAMANO LA JUMUIYA YA WAISLAMU WA SHIA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Novemba 10, 2024 amemuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano Mkuu na Kongamano la Umuhimu wa Amani kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Kongamano hilo linaloratibiwa na Jumuiya ya Waislamu wa SHIA Tanzania, lilofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, jijini …

Soma zaidi »

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko anaiwakilisha Serikali katika sherehe za uapisho wa Rais Mteule wa Botswana Gideon Duma Boko zitakazofanyika Katika Uwanja wa Taifa wa nchi hiyo Novemba 8, 2024

Akiwasili katika Uwanja wa ndege wa Gaborone, Dkt. Biteko amepokelewa na Katibu Mkuu wa Vijana, Jinsia, Utamaduni na Michezo, Bridget John, Balozi wa Tanzania Nchini Afrika Kusini, Mhe. James Bwana pamoja na maafisa wengine waandamizi wa Nchi hiyo. Mhe. Gideon Duma Boko ni Rais wa Sita Botswana kupitia chama cha …

Soma zaidi »

ZINGATIENI MISINGI YA UTAWALA BORA KATIKA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU-MAJALIWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wasimamizi wote wa rasilimaliwatu wazingatie misingi ya utawala bora na weledi katika kuisimamia rasilimali hiyo katika Sekta ya Umma Barani Afrika. Amesema kuwa kufanya hivyo kutasaidia kwa kiasi kikubwa kuwezesha kutoa huduma bora na kudumisha imani ya wananchi kwa Serikali zao. Ametoa wito …

Soma zaidi »

“Bora uitwe mshamba, lakini usimamie maadili.” Mhe. Dotto Biteko

“Kwa kukuza misingi ya uaminifu, haki, uadilifu, uwajibikaji, umoja wa kijamii, na ustawi endelevu, tutahakikisha kuwa safari ya maendeleo ya Tanzania inabaki imara katika maadili yetu ya thamani.” Mhe. Biteko alihimiza umuhimu wa maadili haya kama msingi wa mustakabali bora wa Tanzania​

Soma zaidi »

Uzinduzi wa mifumo ya kidijitali una mchango gani katika uimarishaji wa utawala bora?

Serikali imezindua rasmi mifumo ya kidijitali kwenye taasisi za umma ili kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi, kuongeza ufanisi, na kupunguza urasimu. Hatua hii inachukuliwa kama sehemu ya jitihada za serikali za kuendana na maendeleo ya kiteknolojia na kuweka mazingira bora ya utawala wa kisasa. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, aliongoza …

Soma zaidi »

Kutumia Vipaji Vyetu kwa Mafanikio: Misingi ya Katiba ya Tanzania katika Maendeleo ya Ajira na Ustawi

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatoa mwongozo muhimu kuhusu haki, wajibu, na misingi ya kufanya kazi katika nchi hii. Kwa kuzingatia miongozo hii, tunaweza kujenga mjadala kuhusu jinsi ya kutumia vipaji vyetu kama msingi wa mafanikio kwa kufuata misingi ya katiba. Uhuru wa Kufanya Kazi Katiba ya Tanzania …

Soma zaidi »