Matokeo ChanyA+

Rais Samia Suluhu Hassan anasisitiza kwamba viongozi wanapaswa kutumia falsafa ya 4R kuongoza jamii zao licha ya tofauti zao za kisiasa, kiimani, na itikadi.

Hii ni njia ya kuhakikisha umoja, uvumilivu, maendeleo, na ustawi kwa jamii nzima. Kila kiongozi anapaswa kujitahidi kuhakikisha falsafa hizi zinatumika katika kazi zao za kila siku ili kufikia malengo ya pamoja na kuleta manufaa kwa jamii nzima. #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #NEMC …

Soma zaidi »

Dhamira ya Serikali ni kuboresha Sekta ya elimu na kutoa wito kwa wanafunzi na jamii kwa ujumla kushiriki kikamilifu katika kuhakikisha mafanikio ya elimu nchini Tanzania…..

#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #wizarayaafya #wizarayaujenzi

Soma zaidi »

Rais Samia anaonyesha imani na matumaini yake kwa machifu, akiamini kwamba wana uwezo wa kuongoza vyema maeneo yao

Hii inaashiria heshima na kuthamini mchango wa machifu katika jamii. Rais anamtaja Chifu Hangaya kama kielelezo cha uongozi bora. Hii inaonyesha kwamba Chifu Hangaya ana sifa na mafanikio ambayo machifu wengine wanapaswa kuyaiga. machifu wanapaswa kuwa na jukumu kubwa katika uongozi wa maeneo yao. Hii inasisitiza umuhimu wa uongozi wa …

Soma zaidi »

Imeelezwa kuwa, Dira ya Taifa ya Maendeleo ni picha na maono kuhusu mustakabali tarajiwa wa maendeleo ya nchi kwa siku za usoni.

Hayo yamebainishwa leo Julai 20, 2024 na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko wakati akifungua Kongamano la Kwanza la Kikanda kuhusu Maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 jijini Mwanza. “Maandalizi ya Dira ni sehemu ya upangaji maendeleo na sisi kama Taifa ili tuweze …

Soma zaidi »

WAZIRI MKUU KUZINDUA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMUA LA WAPIGA KURA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 20, 2024 anazindua uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, katika uwanja wa Kawawa, mkoani Kigoma. Uzinduzi huo unaashiria kuanza kwa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura nchini nzima. Mikoa ambayo inaanza uboreshaji wa daftari hilo leo Julai 20, 2024 hadi …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA ATEMBELEA RUKWA.. AANGAZIA AFYA, ELIMU, KILIMO NA MIUNDOMBINU KWA MIRADI YA MAENDELEO.

Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo na Miundombinu kwa kufanya upanuzi wa Hospital za wilaya za Sumbawanga Bilioni 13.7, Ujenzi wa vituo vya Afya 21 na zahanati 30 kwa gharama ya bilioni 9.4, Elimu ya ngazi chini shule mpya za msingi …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AZINDUA MIRADI YA MABILIONI RUKWA NA KUTANGAZA RUZUKU YA MBEGU NA MBOLEA KWA WAKULIMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amehitimisha kwa kishindo ziara yake ndani ya Mkoa wa Rukwa kwa kuzindua, kuweka mawe ya msingi pamoja kukagua miradi ya mabilioni ya shilingi itakayonufaisha mamilioni ya wananchi wa mkoa wa Rukwa na mikoa jirani kiuchumi na kijamii pamoja na …

Soma zaidi »

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 19 Julai, 2024 amewasili Jijini Delhi Nchini India kwa ziara ya kikazi.

Dkt. Tulia amepokelewa na Mkuu wa Itifaki wa Bunge la India, Balozi Anjani Kumar pamoja na Balozi wa Tanzania Nchini India, Mhe. Anisa Mbega ambapo anatarajia kutembelea Bunge la Nchi hiyo na kutoa Mhadhara kuhusu Demokrasia na Diplomasia ya Kibunge mapema wiki ijayo.

Soma zaidi »