RAIS SAMIA AZINDUA MIRADI YA MABILIONI RUKWA NA KUTANGAZA RUZUKU YA MBEGU NA MBOLEA KWA WAKULIMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amehitimisha kwa kishindo ziara yake ndani ya Mkoa wa Rukwa kwa kuzindua, kuweka mawe ya msingi pamoja kukagua miradi ya mabilioni ya shilingi itakayonufaisha mamilioni ya wananchi wa mkoa wa Rukwa na mikoa jirani kiuchumi na kijamii pamoja na kuridhia kuanzia msimu ujao wa kilimo kuweka ruzuku katika mbegu za mahindi na mbolea.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *