Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 19 Julai, 2024 amewasili Jijini Delhi Nchini India kwa ziara ya kikazi.

Dkt. Tulia amepokelewa na Mkuu wa Itifaki wa Bunge la India, Balozi Anjani Kumar pamoja na Balozi wa Tanzania Nchini India, Mhe. Anisa Mbega ambapo anatarajia kutembelea Bunge la Nchi hiyo na kutoa Mhadhara kuhusu Demokrasia na Diplomasia ya Kibunge mapema wiki ijayo.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *