Mbunge wa kuteuliwa na Rais na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amemuandikia Spika wa Bunge la Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson barua ya kujiuzulu Ubunge leo MatokeoChanya July 21, 2024 BUNGE LA TANZANIA, CCM, Tanzania Acha maoni 329 Imeonekana Share Facebook Twitter Stumbleupon LinkedIn Pinterest