AMANI

KUTUMIA NJIA ZA AMANI KUONDOSHA MIGOGORO NDIO KUNAKOLETA AMANI – RAIS . DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Amani ya kweli haipatikani kwa nguvu wala kwa mabishano yasiyoisha, bali hupatikana pale tunapochagua njia za amani katika kusuluhisha migogoro. Kauli hii inatufundisha kuwa mazungumzo, maridhiano, na uvumilivu ndio silaha kubwa zaidi kwa ustawi wa jamii na taifa. Kila mtu ana nafasi ya kuchagua amani badala ya vurugu, mshikamano badala …

Soma zaidi »

UTEUZI WA WANACHAMA WA CCM WATAKAOGOMBEA NAFASI ZA UBUNGE NA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI KWA MAJIMBO NA VITI MAALUM

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinapenda kuwajulisha wanachama wake na umma wa Watanzania kuwa, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) katika kikao chake cha tarehe 23 Agosti, 2025 imefikira na kufanya uteuzi wa mwisho wa majina ya wanachama wanaoomba nafasi za Ubunge na majina ya wanachama wanaoomba nafasi ya Ujumbe wa …

Soma zaidi »