MKUTANO WA WAZIRI MKUU NA WAHIRIRI WA VYOMBO VYA HABARI PAMOJA NA WAANDISHI WA HABARI

Waziri Mkuu anakutana na wahiriri na waandishi wa habari kujadili maendeleo, uwazi na nafasi ya vyombo vya habari nchini. Mkutano huu unalenga kuimarisha ushirikiano kati ya serikali na wanahabari.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *