Amesema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati akitoa Tamko la Serikali kuhusu Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani ambapo kwa mwaka 2025 yamefanyika chini ya kaulimbiu: “Imarisha Mwitikio, Tokomeza UKIMWI”. Waziri Lukuvi amesema upatikanaji wa dawa hizo umeendelea kuimarika, huku idadi ya WAVIU wanaotumia Dawa za ARV ikiongezeka kutoka …
Soma zaidi »Maktaba ya Mwaka: 2025
JE WAJUA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU, NA HUU NDIO MUSTAKABALI WA TAIFA LETU.
Michezo ni afya, Mazingira ni uhai.
NEMC yaendesha mafunzo kuhusu nyenzo za usimamizi wa mazingira kwa Wizara, Taasisi, Halmashauri za Manispaa na Wilaya nchini. Mafunzo yameandaliwa kupitia Mradi wa kujenga uwezo wa kitaifa katika kusimamia Sheria ya usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2004, uliofadhiliwa na SIDA
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange, amefanya ziara yake ya kwanza NEMC na kuzungumza na watumishi wa Baraza hilo huku akitoa maelekezo mahsusi juu ya kuimarisha usimamizi wa mazingira nchini.
Mazingira yetu, uhai wetu. Tuyatunze yatutunze
SISI TUNAWEZA
MKUTANO WA WAZIRI MKUU NA WAHIRIRI WA VYOMBO VYA HABARI PAMOJA NA WAANDISHI WA HABARI
Waziri Mkuu anakutana na wahiriri na waandishi wa habari kujadili maendeleo, uwazi na nafasi ya vyombo vya habari nchini. Mkutano huu unalenga kuimarisha ushirikiano kati ya serikali na wanahabari.
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+