Maktaba ya Mwaka: 2025

Tanzania Yafanikisha na Kuvuka Malengo Katika Sekta ya Utalii (2021-2024)

Sekta ya utalii nchini Tanzania imefikia na hata kuvuka malengo yaliyowekwa kwa kipindi cha mwaka 2021 hadi 2024, hatua inayodhihirisha mafanikio makubwa chini ya uongozi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kupitia juhudi za kimkakati, ikiwemo uzinduzi wa filamu ya Royal Tour, uwekezaji katika miundombinu ya kitalii, na kampeni …

Soma zaidi »