NEMC yashiriki kongamano la Dunia la Programu ya UNESCO ya Binadamu na Hifadhi Hai lililofanyika jijini Hangzhou nchini China kuanzia Septemba 22-25, 2025. NEMC na TANAPA ni wawakilishi kutoka Tanzania katika kongamano hilo
MatokeoChanya
September 24, 2025
CCM, Matokeo ChanyA+, MAZINGIRA, NEMC, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN, Tanzania, Tanzania MpyA+
33 Imeonekana