Tazama hotuba ya kihistoria ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliposhiriki na kuongoza Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika kitaifa katika uwanja wa Mashujaa, Mtumba – Dodoma. Katika hotuba hii, Rais Samia anatoa heshima kwa mashujaa waliopigania uhuru, amani na maendeleo ya Taifa, …
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: July 25, 2025
WAKILI MSOMI NA RAIS WA TLS MWAMBUKUSI AWASHUKIA WAZEE WA NCHI HII,NI WAKATI WAO KULINUSURU TAIFA
Katika hali ya sasa ya kisiasa nchini, ambapo mijadala kuhusu mwelekeo wa uchaguzi mkuu ujao imeanza kuchukua nafasi kubwa, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, ametoa wito mzito kwa taifa: kuitishwa kwa dharura kwa kikao cha Wazee wa Taifa. Lengo kuu ni kutafuta maridhiano ya kitaifa …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+