Rais wa TLS, Wakili Boniface Mwabukusi, anatoa mtazamo tofauti kuhusu changamoto za taifa. Anasisitiza kuwa hoja si kuandika Katiba mpya tu, bali ni kuongozwa na mitazamo sahihi ya kiuongozi, maadili, na uzalendo. ▶️ Sikiliza kauli hii yenye kutikisa fikra za kawaida. 🔔 Subscribe ili kupata maoni ya ujenzi wa Taifa …
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: July 23, 2025
TUOMBE KWA AJILI YA TAIFA LETU – BONIFACE MWABUKUSI
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, ametoa wito wa kitaifa wa maombi kwa ajili ya Tanzania, akiwasihi Watanzania wote kumgeukia Mungu kwa unyenyekevu na toba ili taifa lirudi katika mstari wake sahihi wa haki, maadili, umoja na heshima. Katika ujumbe wake, alioutoa kwa sauti ya matumaini …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+