Maktaba ya Kila Siku: July 11, 2025

DKT. NDUMBARO AKITATUA MIGOGORO KATIKA BANDA LA KATIBA NA SHERIA: SABASABA 2025

Katika maonyesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, ametembelea banda la Wizara yake na kushuhudia kwa vitendo utoaji wa msaada wa kisheria kwa wananchi. Dkt. Ndumbaro ametumia fursa hiyo kusikiliza hoja za wananchi waliowasilisha malalamiko mbalimbali, yakiwemo ya migogoro …

Soma zaidi »