Katika maonyesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, ametembelea banda la Wizara yake na kushuhudia kwa vitendo utoaji wa msaada wa kisheria kwa wananchi. Dkt. Ndumbaro ametumia fursa hiyo kusikiliza hoja za wananchi waliowasilisha malalamiko mbalimbali, yakiwemo ya migogoro …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+