Mkutano huu pia umehudhuriwa na wadau wakuu wakiwemo wawakilishi wa Umoja wa Afrika (AU), Umoja wa Mataifa (UN), jumuiya nyingine za kikanda, mabalozi, viongozi wa sekta binafsi, mashirika ya kiraia, na wasomi. Washiriki wamejadili hatua zilizopigwa katika nyanja mbalimbali kama vile biashara ya kikanda, usafirishaji, na usalama wa kikanda, huku wakitoa mapendekezo ya jinsi ya kuimarisha zaidi ushirikiano huo.
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+