Documentary – SAFARI YA MAISHA BORA

Ni Safari ya Kutembelea Maeneo ya Mradi ya Kitwai, Saunyi na Msomera.

Serikali imeendelea kutoa elimu na kuwashawishi wananchi kuhama kwa hiari ndani ya eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, ambapo Tarehe 14, Septemba 2024 Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro iliandaa safari ya wawakilishi wa wananchi wakiwemo viongozi, malaigwanani na wakaazi wa Ngorongoro kwenda kutembelea na kujionea maeneo yaliyotengwa na Serikali ili kufanya uamuzi sahihi.

Safari hii ilianza mapema asubuhi kutoka Wilaya ya Karatu (Mkoa wa Arusha), kupitia Wilaya za Simajiro (Mkoani Manyara), Kilindi na kuhitimishwa eneo la Msomera lililopo Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *