Maktaba ya Kila Siku: September 20, 2024

TAMASHA LA UTAMADUNI KITAIFA MKUOANI RUVUMA 20-23.2024

Tamasha la Utamaduni la Kitaifa mkoani Ruvuma ni tukio linalosherehekea na kuonyesha utajiri wa utamaduni wa Kitanzania, likiwaleta pamoja washiriki kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania kushindana na kuonyesha vipaji vyao katika ngoma, muziki, sanaa, na desturi za jadi. Hii ni fursa ya pekee kwa wakazi wa Ruvuma na wageni kutoka …

Soma zaidi »

“Hakuna Wa Kutupangi Nini Cha Kufanya ndani ya Nchi Yetu, Tuna Katiba, Sheria Na Miongozo Yetu”

( Vienna Convention on Diplomatic Relations) Ni mojawapo ya mikataba muhimu ya kimataifa inayosimamia na kudhibiti shughuli za kidiplomasia kati ya nchi na serikali zao. Mkataba huu ulipitishwa na Umoja wa Mataifa mwaka 1961 na kuanza kutumika rasmi mwaka 1964. Lengo kuu la mkataba huu ni kuhakikisha utaratibu wa mahusiano …

Soma zaidi »