Machifu wa Tanzania wamekuwa na historia ndefu ya uongozi na ushawishi katika jamii tangu enzi za kabla ya ukoloni, na wanaendelea kuwa na nafasi muhimu katika mustakabali wa taifa hata leo. Mkutano wa machifu wa Tanzania nzima kujadili mustakabali wa taifa ni tukio linaloonyesha umuhimu wa mila na desturi katika …
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: September 21, 2024
“UKIMYA WANGU SIO UJINGA, SITAKUWA NA MUHALI KWA YEYOTE ANAYETAKA KUVURUGA AMANI YETU”
“Hatutaruhusu mtu yeyote kuchafua mazingira ya amani na utulivu ambayo yamejengwa kwa miaka mingi. Tutalinda nchi yetu kwa nguvu zote na kuhakikisha kuwa Katiba ya Tanzania inaheshimiwa na kufuatwa na kila mmoja,” @samiasuluhu99 Rais Wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+