“Hakuna Wa Kutupangi Nini Cha Kufanya ndani ya Nchi Yetu, Tuna Katiba, Sheria Na Miongozo Yetu”

( Vienna Convention on Diplomatic Relations)

Ni mojawapo ya mikataba muhimu ya kimataifa inayosimamia na kudhibiti shughuli za kidiplomasia kati ya nchi na serikali zao. Mkataba huu ulipitishwa na Umoja wa Mataifa mwaka 1961 na kuanza kutumika rasmi mwaka 1964. Lengo kuu la mkataba huu ni kuhakikisha utaratibu wa mahusiano ya kidiplomasia unaendelea kwa amani, usalama, na kuheshimiana kati ya mataifa.

Majukumu ya Nchi Mwenyeji Kifungu 23:

Wawakilishi wa kibalozi hawaruhusiwi kuhusika katika masuala ya ndani ya nchi mwenyeji. Ni wajibu wa balozi kuwakilisha maslahi ya nchi yake bila kuathiri uhuru wa nchi mwenyeji.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *