Recent Posts

WATUHUMIWA 940 MBARONI KWA TUHUMA ZA DAWA ZA KULEVYA

MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA) imekamata kilogramu 33,077.623 za dawa za kulevya aina mbalimbali huku ikiwashikilia watuhumiwa 940 kuhusika kwenye matukio tofauti ya uhalifu wa dawa za kulevya. Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo, akizungumuza na waandishi wa Habari leo Septemba 8,2025 jijini Dar …

Soma zaidi »

🔴 LIVE: SAMIA SULUHU HASSAN AINGIA KWA KISHINDO MBEYA – MBALIZI

Rais Samia Suluhu Hassan amewasili Mbalizi, Mbeya, kwa kishindo kikubwa akipokelewa na umati wa wananchi waliojitokeza kumpokea. Katika hotuba yake, amewaomba wananchi waendelee kumpa imani na kura kwa ajili ya kiti cha urais. Katika tukio hili la kihistoria, wananchi wa Mbeya wameonesha mshikamano na furaha kubwa huku wakisifu maendeleo na …

Soma zaidi »