Baada ya kuwepo kwa taarifa za kufungiwa na FIFA kwa kiungo wa Yanga Mohamed Issa Banka, kwenye kipindi hiki uongozi wa klabu hiyo kwa mara ya kwanza umetoa kauli. Kwenye kipindi hiki, uongozi wa klabu ya Yanga umeanza kwa kutoa taarifa kuhusu michango iliyokwishatolewa hadi sasa kupitia kampeni maalam ya …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
September, 2018
-
8 September
RAIS MAGUFULI UNA SIFA KUU 5 AMBAZO HAKUNA KIONGOZI AFRIKA ANAZO – Mpina
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhanga Joelson Mpina amesema Rais Magufuli ni Rais pekee Barani Afrika na mwenye sifa muhimu tano ambazo hakuna kiongozi barani humu anazo. “Mheshimiwa Rais, mimi nataka niseme ya moyoni.. na kwa sababu niko hapa Simiyu leo; kwamba wewe umevunja rekodi katika dunia hii na …
Soma zaidi » -
8 September
Waliotorosha mashine za kiwanda cha almasi Iringa waanza kusakwa
Mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi ametoa siku 30 kwa watu wanaohusika na utoroshwaji wa mashine zilizokuwa katika kiwanda cha almasi cha mjini mafinga na kutaifishwa kujisalimisha ofisini kwake kabla hatua za kisheria hazijachukuliwa
Soma zaidi » -
8 September
Kiwanda: Mzee Mbanga amesema “kukutana na Waziri kumenipa nguvu ya kufungua kiwanda changu”
Mtanzania aliyeunda BAJAJI, Mzee Andrew Mbanga amesema anatarajia kufungua kiwanda cha kutengeneza chombo hicho kwa sababu amepata nguvu baada ya kukutana na Waziri wa Biashara, Viwanda na Uwekezaji Charles Mwijage. Mzee Mbanga amesema kukutana na Waziri kumempa nguvu ya kufungua kiwanda chake ambapo awali alishindwa kwa sababu BAJAJI aliyounda ilikosa …
Soma zaidi » -
8 September
ATCL kwenda Entebbe siku 4 kila wiki
• Ni kila siku ya Jumatatu, Jumatano, Ijumaa na Jumapili • Safari za Bujumbura – Burundi ni kila siku ya Jumanne, Alhamisi na Jumamosi #MATAGA Bofya link hii hapa chini kwa taarifa zaidi Habari ya mjini ndio hii! Fanya booking yako mapema kupata punguzo la bei.#Entebbe#Bujumbura#EndeleaKupasuaAnga pic.twitter.com/SzEm1mGQWF — Air Tanzania …
Soma zaidi » -
8 September
Live: Rais Magufuli akihutubia wananchi wa Busega mkoani Simiyu
Fuatilia kupitia link hii #SisiNiTanzaniaMpyA+
Soma zaidi » -
7 September
“Makao makuu (TAKUKURU) TOKA toka mwezi wa 4 hadi wa 9, Hawajashughulika! Ninaona mkurugenzi Mkuu akae pembeni, Akafanye kazi nyingine.’ – RAIS MAGUFULI
“Mtu amenunua Musoma Hotel hashughuliki.. Kila kandarasi hamalizi.. Waziri Mkuu akapita hapa.. Mara. Akitoa maagizo kwenye chombo cha PCCB.. – TAKUKURU shughulikia hili. Mkuu wa TAKUKURU wa mkoa wa Mara akalishughulikia. Akalimaliza mwezi wa nne (Aprili 2018)! Akalipeleka Makao Makuu (Makao Makuu ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa …
Soma zaidi » -
7 September
LIVE: Fuatilia Matangazo Ya Moja Kwa Moja Rais Magufuli anazungumza na Wananchi Tarime – Tarehe 7 septemba 2018
Rais Magufuli anazungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara katika viwanja vya chuo Ualimu
Soma zaidi » -
7 September
LIVE: Fuatilia Mubashara Kinachoendelea Bungeni Dodoma – Mkutano wa 12, Kikao Cha Nne Tarehe 7 Septemba 2018
Bunge la Tanzania: MKUTANO WA KUMI NA MBILI, KIKAO CHA NNE. SEPTEMBA 7, 2018. MASWALI NA MAJIBU.
Soma zaidi » -
6 September
MWENYEZI MUNGU AMLINDE NA AMJAALIE AFYA NJEMA RAIS MAGUFULI – MZEE MSEKWA
“Mwenyeji Mungu amjaalie Afya njema..ili aendelee kuijenga nchi yetu.., kuiongoza nchi yetu kwa miaka kumi; Isingekuwa juhudi zako Nyerere.., Taifa letu lingekuwa wapi.. Tutataka kumuimbia Rais Magufuli, Isingekuwa juhudi za Magufuli.. haya yangetoka wapi..” – Mzee Pius Msekwa, Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 05/09/2018 Ikulu …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+