Katika kipindi hiki serikali italeta kivuko cha muda ili wananchi kutumia kwa mujibu wa taarifa ambayo imetolewa leo na waziri mkuu Kassim Majaliwa wakati akiongoza mazishi. Waziri mkuu amesema ni msiba mkubwa ulioipata nchi. Ibada ya mazishi imeambatana na dua kutoka kwa viongozi wa dini ya Kiislamu na Kikristo.
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
September, 2018
-
23 September
Jumla ya miili 224 imeopolewa hadi sasa mkasa wa MV Nyerere
Serikali itaunda tume ya uchunguzi itakayohusisha timu ya wataalamu na vyombo ya dola, kuhakikisha chanzo cha ajali kinatambulika. Jumla ya miili 224 imeopolewa kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa uchukuzi mhandisi Isack Kamwelwe. Maafisa wote wanaohusika na uendeshaji wa kivuko wamekamatwa na wanahojiwa kwa uchunguzi. Mazishi yataendelea kufanyika …
Soma zaidi » -
21 September
FLYOVER YA ENG. MFUGALE; KUTOKA WAZO, AHADI, MAAMUZI, USIMAMIZI HADI UHALISIA!
“Mtakumbuka ndugu zangu.. wakati tukiomba kura.. ili tuchaguliwe; Tulieleza mengi.” “Na moja ya yale tuliyoyaeleza..na hasa mimi nilipokuwa hapa Dar es Salaam, nilisema nitahakikisha barabara ya Flyover inajengwa na Dar es Salaam inabadilika.” “Ahadi ni deni. Nina uhakika kwa wana Dar es Salam leo ni ushahidi tosha.. kwa sababu tulipokuwa …
Soma zaidi » -
20 September
BARABARA MPYA ZA LAMI ZA MITAA YA MIKOCHENI NA MSASANI ZAONGEZA KASI YA KUKUZA UCHUMI JIJINI DSM.
• Zimerahisisha usafiri katikati ya mitaa hiyo • Za pinguza msongamano kwa kiasi kikubwa barabara ya Mwai Kibaki • Sasa mitaa ya Sayansi Kijitonyama, Msasani kwa Mwalimu, Mikocheni, Msasani na Masaki imeunganishwa kwa njia za lami zaidi ya moja. • Tatizo la mafuriko na mitaro isiyopitisha maji kipindi cha masika, …
Soma zaidi » -
19 September
KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI: Jukumu la Kiongozi ni kuwatumikia wananchi na si kuweka mbele masĺahi binafsi.
KATIBU MKUU KIONGOZI, MHE. MHANDISI BALOZI JOHN KIJAZI katika kikao na Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu, amewataka watendaji hao muhimu wa serikali kuzingatia na kulinda maslahi ya wananchi na si vinginevyo. Balozi Kijazi alisema; “Kauli mbiu ya Kikao Kazi hiki ni Uongozi makini na wapamoja unaozingatia uzalendo, uwajibikaji,utawala Bora …
Soma zaidi » -
18 September
MBEYA CEMENT WAANZA KUTUMIA BANDARI YA KYELA
Kampuni kubwa ya kuzalisha saruji ya Mbeya Cement imeanza kutumia huduma za Bandari ya Kyela kwa kusafirisha tani 1,000 za makaa ya mawe. Tani hizo za makaa ya mawe zimepokelewa katika Bandari ya Kiwira leo.
Soma zaidi » -
18 September
JESHI: Jukumu la kwanza la Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao.
Ukakamavu na kujiamini kunamfanya askari atekeleze majukumu yake vizuri.
Soma zaidi » -
18 September
WANANCHI WA KJIJI CHA MUSANJA WAJITOLEA KUJENGA DARAJA
Wananchi wa Kijiji cha Musanja, Kata ya Musanja wamejitolea kwa hali na mali kujenga daraja linalounganisha Vitongoji vya Kaharaga na Kukema (ilipo S/M Musanja) ili kurahisisha mawasiliano kati ya Shule na Jamii inayozunguka Shule hiyo. Ujenzi wa Daraja hilo utasaidia wanafunzi wanaosoma shule ya msingi Musanja waliokuwa wanapata shida …
Soma zaidi » -
18 September
UTANDIKAJI WA RELI YA SGR UMEANZA
Utandikaji wa reli ya kisasa ya SGR umeanza leo rasmi katika eneo la Soga Kibaha Mkoani Pwani, ambapo awamu ya kwanza itafanyika katika kilometa 55.
Soma zaidi » -
17 September
AHADI: Hii hapa ahadi ya Rais Dkt Mgufuli iliyotimiA
Ikumbukwe kwamba mnamo tarehe 17 Octoba 2015 katika kampeni za uchaguzi mkuu 2015, Dk Magufuli alifanya kampeni katika jimbo la Segerea, aliwaomba wakazi wa Dar es Salaam wampatie kura Oktoba 25 ili aweze kutekeleza miradi hiyo mikubwa itakayoenda sanjari na ujenzi wa barabara za juu zitakazopunguza foleni. LEO AHADI IMETIMIA …
Soma zaidi » -
17 September
TANESCO KUOKOA MIL. 450 KILA MWEZI BAADA YA KUZIMA MITAMBO YA KUFUA UMEME INAYOTUMIA DIZELI RUVUMA
Moja ya mitambo ya kufua umeme wa mafuta ya dizeli uliokuwa kwenye kituo cha Songea ikiwa imezimwa. Kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya dizeli iliyokuwa ikitumika kufua umeme kwa matumizi ya mji wa Songea na vitongoji vyake Septemba 13, 2018 baada ya kuunganishwa kwenye Gridi ya Taifa, Shirika la umeme …
Soma zaidi » -
16 September
GAIRO: Gairo yafaidika milioni 135 katika Elimu
Mkuu wa wilaya ya Gairo Mhe. Siriel Shaidi Mchemba akiongozana na DED na Meneja TARURA wamefanya ziara Kata ya Mandege vijiji vya Njungwa na Ikwamba. Mbali na barabara kuwa changamoto wamefanikiwa kufika katika kata hizo. Katika kuboresha miundo mbinu ya barabara tayari TARURA wameanza ujenzi wa barabara hizo. Wananchi wa …
Soma zaidi » -
15 September
Eng. Patrick MFUGALE aongelea kuanza kutumika Kwa Flyover kabla ya uzinduzi.
Barabara za juu katika eneo la Tazara jijini Dar es Salaam nchini Tanzania zimeanza kutumika hii leo kwa majaribio ambapo uzinduzi rasmi utafanyika baada ya tarehe rasmi kupangwa. Akizungumza mara baada ya kufanyika kwa uzinduzi huo wa majaribio injinia Patrick Mfugale ambaye barabara hizo zimepewa jina lake Mfugale Fylover amesema …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+