Hadi kufikia Septemba, 2018 kazi ya Ujenzi wa Mgodi wa Mfano Lwamgasa na usimikaji wa mitambo ya uchenjuaji imekamilila kwa asilimia 80 Mkoani Geita. Lengo la mgodi huo ni kutoa elimu kwa wachimbaji wadogo kuhusu uchimbaji sahihi na uchenjuaji bora wa madini ya dhahabu. Mgodi wa Mfano wa Lwamgasa ambao …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
October, 2018
-
30 October
HATUWEZI KUENDELEA KUAGIZA SUKARI WAKATI TUNA UWEZO WA KUFANIKISHA UZALISHAJI – Dkt. TIZEBA
Serikali imeipa changamoto Bodi ya sukari nchini kutekeleza majukumu yake kwa weledi ikiwa ni pamoja na kusisitiza kuhuisha uzalishaji wa sukari kwa wingi ili kuondokana na uagizaji wa sukari kutoka nje ya nchi. KaMpuni mbalimbali za uzalishaji wa sukari nchini zimeitikia wito wa Serikali wa kuongeza uzalishaji wa sukari ili …
Soma zaidi » -
29 October
MSIMAMO WETU NI ULEULE KUHUSU MKATABA WA EPA – Prof. KABUDI
Waziri wa Katiba na Sheria Prof.Palamagamba Kabudi ameongoza ujumbe wa Tanzania ulioshiriki mkutano wa pamoja wa 16 wa Mawaziri wa Biashara wa nchi za Afrika, Karibeani na Pasifiki (ACP) na Umoja wa Ulaya (EU) uliofanyika jijini Brussels nchini Ubelgiji Oktoba 26, 2018. Mbali na Mkutano huo, Mheshimiwa Profesa Kabudi alishiriki …
Soma zaidi » -
29 October
LIVE: Ufunguzi wa Maonesho ya Viwanda Pwani
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Mkoa wa Pwani ambapo Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ni mgeni rasmi katika ufunguzi wa Maonesho ya Viwanda Pwani.
Soma zaidi » -
29 October
MAKAMU WA RAIS AKATAA KUZINDUA STENDI YA MAILI MOJA KIBAHA
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amekataa kuzindua stendi kuu mpya ya Mailimoja Kibaha mkoani Pwani, akiwa katika ziara yake mkoani humo. Hatua hiyo ameifikia kutokana na kupata wasiwasi wa utekelezaji wa mradi kuwa na baadhi ya mapungufu ambapo amedai baada ya kufanya uchunguzi wiki mbili ama tatu zijazo atakwenda …
Soma zaidi » -
28 October
SHIRIKA LA NDEGE (ATCL) LIMEONDOLEWA VIKWAZO NA SHIRIKA LA IATA.
Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limeondolewa vikwazo ilivyokuwa imewekewa na Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (IATA) na ICH kuanzia Oktoba 2018, baada ya kutimiza masharti. ATCL ilipoteza uanachama wake wa IATA mwaka 2008 kutoka na malimbikizo ya madeni.
Soma zaidi » -
27 October
HAKI ZOTE ZA FIDIA KWA WANANCHI ZITALIPWA – MAKAMU WA RAIS
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali italipa fidia kwa wananchi katika maeneo ambayo miradi ya Serikali imepita. Makamu wa Rais ameyasema hayo wakati akihutubia wakazi wa Manerumango kwenye uwanja wa shule ya msingi Maneromango wilayani Kisarawe mkoani Pwani. “Nataka niwahakikishie wananchi wote kila kipande cha ardhi cha mtu …
Soma zaidi » -
27 October
VIJIJI PEMBEZONI MWA HIFADHI ZA TAIFA KUNUFAIKA NA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) imeanza kazi ya uandaaji wa mipango ya matumizi ya ardhi katika Wilaya na vijiji vinavyozunguka hifadhi za Taifa za wanyamapori ili kulinda mipaka ya hifadhi za Taifa pamoja na kuondoa migogoro …
Soma zaidi » -
26 October
MAKAMU WA RAIS AENDELEA NA ZIARA MKOA WA PWANI
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea na ziara ya kukagua na kuhamasisha shughuli za kimaendeleo katika mkoa wa Pwani ambapo leo ametembelea Wilaya ya Mkuranga. Katika ziara yake wilayani Mkuranga Makamu wa Rais alitembelea kiwanda cha kutengeneza Gypsum (Gypsum Board) cha Knauf kilichopo Mwanambaya, akiwa kiwandani hapo Makamu wa …
Soma zaidi » -
26 October
WANAFUNZI 12 WA VYUO VIKUU KWENDA MAURITIUS KUJIFUNZA ELIMU YA MASOKO YA MITAJI
Wadau wamekuwa na mwamko katika sekta ya fedha ikiwa ni kuunga mkono juhudi za serikali katika kutekeleza mikakati mbalimbali ya kisera kwa lengo la kuongeza uwelewa na kukuza uwekezaji kupitia masoko ya mitaji. Waziri wa Fedha na Mipango Dkt.Philip Mpango ameyasema hayo wakati wa kutoa zawadi kwa washindi wa shindano …
Soma zaidi » -
25 October
MAONESHO HAYA NI FURSA MUHIMU KWA WAJASIRIAMALI – Dkt. TIZEBA
Waziri wa kilimo Dkt Charles Tizeba amewataka wajasiriamali kote nchini kuchangamkia fursa ya kutembelea katika Maonesho ya Kitaifa ya Viwanda Vidogo (SIDO), yanayofanyika katika Viwanja vya Nyakabindi katika Halmashauri ya mji wa Bariadi mkoani Simiyu. Katika maonesho hayo ambayo yalianza Oktoba 23 mwaka huu, Dkt Tizeba amesema kuwa hiyo ni …
Soma zaidi » -
25 October
TUNAFIKISHA MAJI SAFI VIJIJINI KWA 85% 2020 – MAMA SAMIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya awamu ya tano imeendelea kutekeleza ahadi ya kusambaza maji mijini na vijijini ambapo mpaka ifikapo mwaka 2020 inategemea maji yatakuwa yamefika vijijini kwa asilimia 85% na mjini asilimia 90%. Makamu wa Rais ameyasema hayo …
Soma zaidi » -
25 October
BANDARI ZOTE KUBWA KUFUNGWA FLOW METERS
Ni Bandari Zote Zinazopokea Mafuta ghafi nchini Katika kuhakikisha Bandari zote nchini zinafanya kazi ipasavyo kama inavyotakiwa Serikali imesema utaratibu za ufungaji wa flow meter katika bandari zote nchini ziko katika hatua za mwisho baada ya taratibu zote kukamilika. Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, amsema hayo wakati wa kikao …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+