SHIRIKA LA NDEGE (ATCL) LIMEONDOLEWA VIKWAZO NA SHIRIKA LA IATA.

Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limeondolewa vikwazo ilivyokuwa imewekewa na Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (IATA) na ICH kuanzia Oktoba 2018, baada ya kutimiza masharti. ATCL ilipoteza uanachama wake wa IATA mwaka 2008 kutoka na malimbikizo ya madeni.

Unaweza kuangalia pia

MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI MJINI DODOMA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *