Siku ya Wanawake Duniani imeadhimishwa kwa hamasa kubwa jijini Arusha, ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza dhamira ya serikali kujenga jamii jumuishi, yenye haki na usawa wa kijinsia.
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
March, 2025
-
8 March
TUMEPUNGUZA KIWANGO CHA UMASIKINI KWA ZAIDI YA 26% – MHE RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN.
“Kwa upande wetu Tanzania mpaka tunafanya tathmini ya mpango wa tatu wa maendeleo katika vision yetu ile kubwa ya miaka 25. Mpaka tunafanya tathmini ya mpango wa tatu wa maendeleo tayari tulishapunguza umasikini kwa kiwango cha asilimi 26,” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. #sisinitanzania …
Soma zaidi » -
1 March
ZAIDI YA WATU LAKI NNE KUSHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI JIJINI ARUSHA
Arusha, Machi 1, 2025 – Meya wa Jiji la Arusha, Mhe. Maximilian, ametangaza kuwa zaidi ya watu laki nne wanatarajiwa kushiriki katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika jijini Arusha. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mhe. Maximilian amesema maandalizi yanaendelea vizuri, huku jiji likijiandaa kupokea wageni …
Soma zaidi »
February, 2025
-
21 February
KABLA YA BISMACK ROCK LILIITWA BARAKA STONE.
Mwanza Historia: Kabla ya Bismack Rock, Liliitwa Baraka Stone Jiwe maarufu la Mwanza, linalojulikana leo kama Bismarck Rock, lilikuwa na jina la awali Baraka Stone. Katika video hii, tunachunguza historia ya kuvutia ya jiwe hili, umuhimu wake kwa wenyeji wa Mwanza, na jinsi lilivyopata jina lake la sasa. Kutoka kwenye …
Soma zaidi »
January, 2025
-
27 January
Mhe. Dkt. Doto Biteko katika mkutano wa Mawaziri wa Nishati na Fedha barani Afrika
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua Mkutano wa Mawaziri wa Nishati na Fedha barani Afrika ambao umehusisha Wadau wa Maendeleo wakiongozwa na Rais wa Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo Afrika. Mkutano huo ni sehemu ya Mkutano wa #Mission300
Soma zaidi » -
25 January
SAFARI YA MAENDELEO YA SEKTA YA NISHATI TANZANIA, KUTOKA 1963 HADI 2025
Tangu uhuru mwaka 1963, sekta ya nishati imekuwa mojawapo ya vichocheo vikubwa vya maendeleo ya Tanzania. Awali, nchi ilitegemea kuni, mkaa, na mafuta ya taa kama vyanzo vikuu vya nishati. Hata hivyo, hatua muhimu zimechukuliwa kufanikisha maendeleo ya sekta hii: 1. 1963-1980,Serikali ilianza uwekezaji katika miradi ya umeme wa maji, …
Soma zaidi »
December, 2024
-
31 December
Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akisisitiza umuhimu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kuboresha utendaji kazi wa serikali na utoaji wa huduma kwa wananchi
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Mawasiliano Ikulu Mawasiliano
Soma zaidi » -
31 December
Mwaka huu tumeshuhudia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliokwenda kwa amani na utulivu. Kwa mara ya kwanza, wagombea wasiokuwa na wapinzani walihitajika kuthibitishwa na wananchi kwa kupigiwa kura ya “Ndio” au “Hapana.” Hatua hii imefuta rasmi utaratibu wa kupita bila kupingwa, na ni hatua muhimu katika kuimarisha demokrasia nchini
MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Mawasiliano Ikulu Mawasiliano
Soma zaidi » -
1 December
Manufaa ya Mikutano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa Maendeleo ya Kikanda
Mkutano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaleta manufaa kadhaa kwa wanachama wa jumuiya hiyo pamoja na wananchi wa ukanda huu. Manufaa hayo ni pamoja na: Kuimarisha Ushirikiano wa Kiuchumi Kujadili mikakati ya kuongeza biashara ya kikanda kupitia Soko la Pamoja (Common Market). Kuweka sera zinazorahisisha biashara za mpakani, kama …
Soma zaidi »
November, 2024
-
24 November
Rais Samia Aongoza Safari ya Kihistoria kwa Treni ya SGR, Akionesha Mafanikio ya Miradi ya Kimkakati
Mnamo tarehe 23 Novemba, 2024, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alifanya safari kwa Treni ya Kisasa ya SGR kutoka Jijini Dar es Salaam hadi Stesheni ya Jakaya Kikwete mkoani Morogoro. Tukio hili linaakisi mafanikio makubwa katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayolenga kuboresha …
Soma zaidi »
October, 2024
-
30 October
Mwaka 2023, Tanzania ilipiga hatua kubwa katika uzalishaji wa chakula, ambapo uzalishaji ulifikia tani milioni 20.4, ikilinganishwa na tani milioni 17.1 mwaka 2022. Hii inawakilisha ongezeko la takriban tani milioni 3.3, linalotokana na juhudi za serikali na Wizara ya Kilimo kuimarisha kilimo kama nguzo ya uchumi na usalama wa chakula nchini
Uwekezaji katika Umwagiliaji: Kupitia miradi ya umwagiliaji na ongezeko la bajeti, maeneo mengi ya kilimo yamewezeshwa kupata maji ya kutosha kwa ajili ya mazao, jambo lililosaidia kuongeza uzalishaji, hasa katika mikoa yenye ukame Uzalishaji wa Mbegu Bora: Serikali imeongeza uzalishaji wa mbegu bora kutoka tani 35,199 mwaka 2021 hadi tani …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+