Kwa kujituma, tunajenga jamii yenye uchumi imara, maadili bora, na kizazi chenye uwezo wa kubeba taifa letu kwa miaka ijayo. Kazi ndio msingi wa taifa lenye mafanikio, na kila Mtanzania ana jukumu la kuhakikisha anashiriki kikamilifu katika safari hii ya kujenga Tanzania yenye ustawi na nguvu. #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
September, 2024
-
4 September
Je, uboreshaji wa reli ya TAZARA unaleta faida gani kiuchumi kwa Tanzania, Zambia, na China katika usafirishaji, uwekezaji, na ushirikiano wa kibiashara?
https://matokeochanya.blogspot.com/2024/09/uhusiano-imara-wa-kiuchumi-kati-ya.html… #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #wizarayaafya #wizarayaujenzi
Soma zaidi » -
4 September
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping pamoja na Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakishuhudia uwekaji saini wa hati ya makubaliano ya kuboresha reli ya TAZARA katika ukumbi wa The Great Hall of the People jijini Beijing
#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #wizarayaafya #wizarayaujenzi
Soma zaidi » -
4 September
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na ujumbe wake wakiwa kwenye kikao cha pamoja na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping na ujumbe wake katika ukumbi wa The Great Hall of the People jijini Beijing
#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #wizarayaafya #wizarayaujenzi
Soma zaidi » -
3 September
WAZIRI NDUMBARO AMUONGEZEA FAINI SHILINGI MILIONI 5 BABU WA TIKTOK, ATOA WIKI MBILI ALIPE
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameongeza adhabu ya faini kutoka shilingi milioni 3 hadi milioni 5 kwa msanii Seif Kisauji maarufu (Babu wa TikTok) akimtaka msanii huyo aombe msamaha hadharani kutokana na kosa la kurusha maudhui ya sanaa yanayokiuka maadili mtandaoni. Waziri Ndumbaro ametoa uamuzi …
Soma zaidi »
August, 2024
-
2 August
DKT. HENRY MPUMPI AELEZEA FAIDA ZA HOSPITALI MPYA YA WILAYA YA GAIRO BAADA YA UZINDUZI NA RAIS SAMIA
Mganga Mfawidhi Wa Hospitali Ya Wilaya Ya Gairo Dkt. Henry Alex Mpumpi Akielezea Faida Zitakazopatikana Kufuatia Uzinduzi Wa Hospitali Ya Wilaya Hiyo Uliofanywa Na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Tarehe 02/08/2024
Soma zaidi »
July, 2024
-
25 July
Meli tatu za kivita za Jeshi la Ukombozi wa Watu wa China zimewasili katika Bandari ya Dar es Salaam zikiwa na wanajeshi kadhaa kwa ajili ya kushiriki mazoezi ya pamoja na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) ikiwa ni sehemu maadhimisho miaka 60 ya Jeshi hilo na ushirikiano kati ya Nchi ya Tanzania na China tangu kuanzishwa kwake.
Akizungumza Julia 24, 2024 katika Bandari ya Dar es Salaam wakati akipokea Meli tatu za Jeshi la Ukombozi wa Watu wa China, Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Wanamaji Tanzania NAVY, Rear Admiral Ameir Ramadan Hassan, amesema kuwa ujio wa meli hizo kutoka Jamhuri ya Watu wa China ni sehemu …
Soma zaidi » -
12 July
Ongezeko la Mikopo ya Elimu ya Juu Tanzania: TZS Bilioni 427 hadi TZS Bilioni 787, Wanafunzi 250,000 Wafaidika
Ongezeko la mikopo kutoka TZS bilioni 427 hadi TZS bilioni 787 linaashiria juhudi za serikali katika kuimarisha sekta ya elimu ya juu na kusaidia wanafunzi kupata elimu bora. Hii ni hatua muhimu kwani inaongeza idadi ya wanafunzi wanaoweza kupata elimu ya juu, ambayo ni msingi wa maendeleo ya taifa. Faida …
Soma zaidi »
June, 2024
-
16 June
Rais Samia Asherehekea Siku ya Mtoto wa Afrika Pamoja na Wajukuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesherehekea Siku ya Mtoto wa Afrika akiwa pamoja na wajukuu wake katika Ikulu jijini Dar es Salaam. Siku hii huadhimishwa kila mwaka tarehe 16 Juni. Katika maadhimisho haya, Rais Samia amesisitiza umuhimu wa Serikali, familia, na jamii kwa …
Soma zaidi »
May, 2024
-
31 May
Kongamano la Wadau wa Mazingira – (NEMC) 31 Mei 2024
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameagiza kuangaliwa upya kwa sheria zinazohusu uhifadhi wa mazingira ili kuliwezesha Baraza la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) na Halmashauri kuwa na nguvu ya kuchukua hatua kali dhidi ya uharibifu wa Mazingira. Makamu wa Rais ametoa maagizo hayo …
Soma zaidi » -
31 May
Kongamano la Wadau wa Mazingira 2024
Makamu wa Rais amewasihi Watanzania kuacha mazoea ya kukata miti na kutupa taka hovyo na kuziagiza Mamlaka za Serikali za Mitaa zihakikishe kuwa Kampuni zinazopewa kazi ya kuzoa taka ziwe na uwezo wa kufanya kazi hizo kwa ufanisi.
Soma zaidi » -
31 May
Kongamano la Wadau wa Mazingira – (NEMC) 31 Mei 2024 (VIDEO)
Kongamano la wadau wa mazingira lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kufanyika tarehe 31 Mei 2024, katika Ukumbi wa JNICC, Dar es Salaam. Kongamano hili linakusudia kuleta pamoja wadau mbalimbali kujadili njia bora za kusimamia na kuhifadhi mazingira nchini Tanzania. Mada kuu zitakazojadiliwa ni …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+