Recent Posts

JE, HII NDIO ALAMA KUU YA UZALENDO NA URITHI WA WANAMWANZA?

πŸ›Ά Tazama mandhari ya kuvutia ya fukwe, visiwa, na shughuli za kijamii zinazolifanya Ziwa Victoria kuwa moyo wa Mwanza na Tanzania nzima. πŸ‘‰ Je, nawe unaliona Ziwa Victoria kama utambulisho wa Taifa? Tuambie maoni yako kwenye comment! #ZiwaVictoria #Mwanza #UrithiWaTanzania #FahariYaMwanza #ZiwaLetuSautiYetU #TanzaniaYangu

Soma zaidi »

TANZANIA NA JAPAN ZASAINI MAKUBALIANO YA BIASHARA YA KABONI

Utiaji saini umefanyika Tokyo, Japan ambapo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni na Serikali ya Japan ikiongozwa na Waziri wa Mazingira, Mhe. Asao Keiichiro(Kei)

Soma zaidi »

USHINDI VITA DHIDI YA KILIMO CHA MIRUNGI TANZANIA

Mafunzo hayo yaliyohudhuriwa na washiriki zaidi ya 80 ikiwemo kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ya Same, Madiwani, watumishi wa Halmashauri, Watendaji ngazi ya Kata, Vijiji na Vitongoji ambapo mgeni rasmi katika mafunzo hayo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe. Kasilda Mgeni.

Soma zaidi »

πŸ…»πŸ…ΈπŸ†…πŸ…΄ :πŸ”΄ MHE. RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI MKUTANO MKUU CCM (SIKU YA PILI)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu akishiriki Mkutano Mkuu Chama cha Mapinduzi CCM siku ya pili Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Dodoma, leo tarehe 30 Mei, 2025. #ijuesheria #ijuesheria #section4wakilitv #bunge #ijuesheria #section4wakilitv #bunge #bungenidodoma #chadema #chademamedia #tls #tundulissu #tls #mwabukusi #uchaguzimkuu2025 #uchaguzi #uchaguzimkuu

Soma zaidi »