Recent Posts

🔴 LIVE: SAMIA SULUHU HASSAN AINGIA KWA KISHINDO MBEYA – MBALIZI

Rais Samia Suluhu Hassan amewasili Mbalizi, Mbeya, kwa kishindo kikubwa akipokelewa na umati wa wananchi waliojitokeza kumpokea. Katika hotuba yake, amewaomba wananchi waendelee kumpa imani na kura kwa ajili ya kiti cha urais. Katika tukio hili la kihistoria, wananchi wa Mbeya wameonesha mshikamano na furaha kubwa huku wakisifu maendeleo na …

Soma zaidi »

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa madereva wa Serikali wanawajibu wa kufanya kazi kwa weledi na nidhamu ya hali ya juu ikiwemo ukaguzi wa gari kabla na baada ya safari, kujaza na kutunza kikamilifu taarifa za safari na matengenezo.

Amewataka madereva na wasimamizi wahakikishe usalama wa vyombo vya usafiri, abiria, mizigo na nyaraka za Serikali pamoja na kutumia vifaa vya kisasa vya usalama, na kujiepusha na tabia zinazoweza kuhatarisha maisha, mali na siri za Serikali. Ameyasema hayo leo (Jumanne, Septemba 2, 2025) alipofungua Mkutano wa Chama cha Madereva wa …

Soma zaidi »

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ndugu. Kailima Ramadhani leo tarehe 30 Agosti, 2025 ameongoza kikao cha wawakilishi wa vyama vya siasa kupitia na kufanya mabadiliko madogo kwenye ratiba ya mikutano ya hadhara ya kampeni za wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais.

Mikutano hiyo iliyoanza tarehe 28 Agosti, 2025 inaendelea hadi tarehe 28 Oktoba, 2025 kwa Tanzania Bara na tarehe 27 Oktoba, 2025 kwa Tanzania Zanzibar. Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa Jamhuri ya Muungano na Madiwani kwa Tanzania Bara utafanyika tarehe 29 Oktoba, 2025. #KurayakoHakiyakoJitokezeKupigaKura #oktoba2025 #tumehuruyataifayauchaguzi #uchaguzi2025 #UchaguziMkuu #uchaguzi

Soma zaidi »

The Vice President of the Republic of Zimbabwe, H.E. Retired Colonel Kembo Campbell Mohadi arrived in Tanzania on August 30, 2025, for a two-day working visit ending on August 31, 2025. The visit was made at the invitation of the Vice President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Philip Isdor Mpango.

Upon arrival at Julius Nyerere International Airport, Vice President Mohadi was warmly received by the Deputy Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Honorable Cosato Chumi, along with other senior government officials. During his visit, Vice President Mohadi will hold official talks with his host, H.E. Dr. Philip Isdor …

Soma zaidi »

UCHAGUZI 2025

1. Haki na Wajibu wa Kisiasa kwa Mujibu wa Katiba Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (kama ilivyorekebishwa) inatambua na kulinda: Haki ya kushiriki shughuli za kisiasa (Ibara ya 20 na 21), ikiwemo kujiunga na chama cha siasa na kushiriki mikutano ya kampeni. Uhuru wa mawazo …

Soma zaidi »