WIZARA YA NISHATI

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa uwezo wa nchi kuzalisha umeme umefikia megawati 3,169.20. Kati ya kiwango hicho, megawati 3,091.7 zimeunganishwa kwenye Gridi ya Taifa, ikiwa ni sawa na asilimia 97.55 ya umeme wote unaozalishwa nchini

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANESCO, mafanikio haya yanatokana na uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali kupitia miradi mbalimbali ya kuzalisha umeme. Miradi hiyo inajumuisha matumizi ya vyanzo vya maji, gesi asilia, na nishati jadidifu kama vile upepo na jua. TANESCO imeeleza kuwa maendeleo haya yanalenga kuhakikisha kuwa nchi inakuwa …

Soma zaidi »

KUONGEZEKA KWA MATUMIZI YA UMEME, KIASHIRIA CHA KUKUA KWA UCHUMI – DKT. BITEKO

“ Mkifanyabiashara maana yake mahitaji ya nishati ya umeme yanaongezeka na hii ni kwa sababu viwanda vingi vimejengwa na uchumi unachangamka. Tunaanza kuona wananchi wanatumia umeme megawati 52 na viwanda vinatumia megawati 48 hii ni kiashiria kuwa uchumi unaendelea kukua vizuri,” amebainisha Dkt. Biteko.

Soma zaidi »

Tathmini ya Mradi wa Umeme wa Gesi Asilia wa Kinyerezi I na II na Mchango wake kwa Maendeleo ya Tanzania

Bofya link hapo chini , tuendelee kupata taarifa hii https://matokeochanya.blogspot.com/2024/11/tathmini-ya-mradi-wa-umeme-wa-gesi.html…#MSLAC#Katibanasheria#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya

Soma zaidi »

Serikali ya Tanzania Yakaribisha Wawekezaji Sekta ya Nishati Kuimarisha Uzalishaji na Usambazaji wa Nishati

Oktoba 21, 2023, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati wa Tanzania, Mhe. Dkt. Doto Biteko, akiwa nchini Singapore, ametoa mwaliko kwa wawekezaji wa sekta binafsi kuwekeza katika sekta ya nishati ya Tanzania. Akizungumza kwenye mjadala wa kimataifa wa nishati uliohudhuriwa na mawaziri wa nishati kutoka nchi mbalimbali, Dkt. Biteko …

Soma zaidi »

Tanzania imekuwa ikifanya maendeleo makubwa katika miradi ya nishati ili kuongeza uzalishaji wa umeme na kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika.

Mradi wa Maji wa Julius Nyerere (JNHPP): Ujenzi wa mradi huu wa kuzalisha MW 2,115 umekamilika kwa zaidi ya asilimia 85. Unatarajiwa kuongeza upatikanaji wa umeme na kuchangia zaidi ya MW 2,100 kwenye gridi ya taifa, hivyo kuzalisha umeme wa kutosha kwa nchi nzima. Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA ATEMBELEA KITUO CHA KUPOOZA UMEME IFAKARA, ATAKA UIMARISHWAJI WA MIUNDOMBINU YA NISHATI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya ziara katika kituo cha kupooza umeme kilichopo Ifakara, mkoani Morogoro. Ziara hii ililenga kukagua maendeleo na ufanisi wa kituo hicho ambacho kinapokea laini mbili za umeme kutoka vyanzo vya Kidatu na Kihansi. Kituo cha kupooza umeme cha Ifakara …

Soma zaidi »

KUBADILISHA SEKTA YA MADINI YA TANZANIA NA MADINI MKAKATI

Tanzania, moja ya nchi zenye rasilimali nyingi za madini duniani, inachukua hatua kubwa katika kusimamia na kutumia madini yake mkakati ili kuendeleza uchumi wake. Katika suala la madini muhimu, Tanzania ina utajiri wa Madini ya Nchi Adimu (REEs), Graphite, Nickel, Cobalt, na Heavy Mineral Sands. Rasilimali hizi za asili ni …

Soma zaidi »