Na Dorina G. Makaya na Ebeneza Mollel Dar-es-salaam. Waziri wa Nishati, Mhe. January Yusuf Makamba, amewataka watanzania kuchangamkia fursa zitakazotokana na ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga, Tanzania ili kujiongezea kipato na utaalam kwani sehemu kubwa ya bomba linapita nchini Tanzania. Waziri Makamba ameyasema …
Soma zaidi »WAZIRI MAKAMBA AKUTANA NA UONGOZI WA EQUINOR NA SHELL
Na Dorina G. Makaya na Janeth Mesomapya – Dar-es-Salaam Waziri wa Nishati January Yusuf Makamba, leo tarehe 24 Septemba, 2021 amekutana na uongozi wa kampuni za Equinor na Shell kwa lengo la kufahamiana na kufanya mazungumzo mafupi kuhusu kuanza kwa majadiliano ya mkataba wa nchi hodhi (HGA) wa Mradi wa …
Soma zaidi »MRADI WA UMEME RUSUMO KUUNGANISHA MIKOA YA KAGERA, KIGOMA, RUKWA NA KATAVI KWENYE GRIDI YA TAIFA – MAJALIWA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mradi wa kuzalisha umeme wa kikanda wa Rusumo utakuwa mkombozi kwa wananchi wa mikoa ya Kagera, Kigoma , Rukwa na Katavi kwani utazalisha umeme wa uhakika utakaowezesha Mikoa hiyo kuunganishwa na gridi ya taifa. Mradi huo unaotekelezwa kwa kuzingatia makubaliano ya Kiserikali ya nchi za …
Soma zaidi »WAKANDARASI WASISITIZWA KUHESHIMU MIKATABA
Veronica Simba – Tabora Serikali imewataka Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini nchini kote kuheshimu makubaliano ya utendaji kazi yaliyoafikiwa baina ya pande hizo mbili kupitia mikataba waliyosaini. Wito huo ulitolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Wakili Julius Kalolo wakati akizungumza na Wakandarasi wanaotekeleza miradi hiyo Mkoa …
Soma zaidi »KAZI INAENDELEA YA KUSIMIKA MABOMBA YA KUTOLEA MAJI KATIKA MRADI WA UMEME WA JNHPP
Kazi ya usimikaji wa bomba (Draft tube) sehemu ya chini kabisa kwenye mashine nambari 9 imeanza Agosti 17, 2021, katika mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), bomba hizo zitatumika kutolea maji katika mitambo ya kufua umeme na kuyarudisha mto Rufiji kwa ajili ya matumizi mengine.Hii ni hatua kubwa …
Soma zaidi »UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA NI KIELELEZO CHA USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA UGANDA
Na. Beatrice Sanga -Maelezo Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mhe. Samia Hassan Suluhu amesema kuwa ujenzi wa bomba la mafuta utakuza na kuimarisha ushirikiano kati ya nchi za Tanzania na uganda Akihutubia katika hafla ya utiaji saini mkataba hodhi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika …
Soma zaidi »WAZIRI KALEMANI – MRADI WA JNHPP UTAANZA KUZALISHA UMEME UTAKAOTUMIKA KATIKA GRIDI YA TAIFA KUANZIA MWEZI JUNI 2022
Zuena Msuya na Henry Kilasa, Pwani Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani amewaeleza watanzania kuwa mradi wa kufua Umeme wa Julius Nyerere ( JNHPP) utaanza kuzalisha Umeme utakaotumika katika gridi ya taifa kuanzia Mwezi Juni 2022 kwa kuwa hatua ya ujenzi ya maeneo muhimu ya kuzalisha umeme yamefikia 52.8% mpaka sasa. …
Soma zaidi »ZAIDI YA BILIONI 7 ZATUMIKA KUFIKISHA UMEME KISIWA KILICHOPO ZIWA TANGANYIKA
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kupitia Nakuroi Investment Co. Ltd inayotekeleza Mradi wa awamu ya tatu mzunguko wa kwanza wanaendelea na zoezi la kulaza nyaya chini ya maji katika ziwa Tanganyika ili kufikisha umeme katika kisiwa cha Mandakerenge, kilichopo kata ya Kipili Wilayani Nkasi, Mkoani Rukwa. Zoezi hilo litakalogharimu zaidi …
Soma zaidi »SERIKALI INAHITAJI SHILINGI TRILIONI NANE KUSAMBAZA UMEME KATIKA VITONGOJI VYOTE
Na Jaina Msuya – REA Serikali inahitaji zaidi ya Shilingi Trilioni Nane kwa ajili ya kusambaza miundombinu ya umeme katika vitongoji ambavyo havijafikiwa na nishati hiyo. Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Wakili Julius Kalolo alisema hayo katika Mkutano wa Kwanza wa Mwaka kati ya Wakala wa Nishati Vijijini …
Soma zaidi »KITUO KIPYA CHA UMEME MTERA KIKAMILIKE KABLA YA OKTOBA – NAIBU WAZIRI BYABATO
Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato ameagiza kuwa, ujenzi wa kituo kipya cha kupoza umeme cha kV 220/33 katika Kituo cha umeme cha Mtera ukamilike kabla ya mwezi Oktoba mwaka huu. Alitoa agizo hilo tarehe 9 Mei,2021 wakati alipofanya ziara katika kituo cha kufua cha umeme cha Mtera na …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+