#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Soma zaidi »๐ด#LIVE: MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA TOLEO LA SHERIA ZILIZOFANYIWA UREKEBU LA MWAKA 2023
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Soma zaidi »๐ด#LIVE: MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA TOLEO LA SHERIA ZILIZOFANYIWA UREKEBU LA MWAKA 2023
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Soma zaidi »SERIKALI YAJIPANGA KUHAKIKISHA MAJI KWA WOTE. – DK. NDUMBARO AIKAGUA BIHARAMULO
Waziri Dk. Damas Ndumbaro Akagua Mradi Mkubwa wa Maji Biharamulo โ Dhamira ya Serikali Kuwafikia Watanzania kwa Vitendo
Soma zaidi »WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AKAGUA KAMPASI YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM MKOANI KAGERA
Katika tukio la kihistoria mkoani Kagera, Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, ameongoza uzinduzi wa Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, hatua muhimu ya kupeleka elimu ya juu karibu zaidi na wananchi wa Kanda ya Ziwa. Tukio hili limechukua sura ya kipekee baada ya wananchi …
Soma zaidi »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Jengo la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania, Tume ya Utumishi wa Mahakama pamoja na Nyumba za Makazi ya Majaji Mkoani Dodoma
KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE
#kazinaututunasongambele#sisinitanzania#matokeochanya#katibanasheria#nchiyangukwanza#kaziiendelee#SSH#MSLAC @ccm_tanzania @SuluhuSamia @matokeochanya @MsLACampaign @sisiniTanzania @NCHIYANGUT @Sheria_Katiba
Soma zaidi »MELEFU WAJITOKEZA KUPATA ELIMU NA MSAADA WA KISHERIA UZINDUZI MSLAC MKOA WA 17 WA KILIMANJARO TAREHE 29/1/2025
Kampeni ya Samia Legal Aid Campaign (MSLAC) imepiga hatua kubwa tangu ilipoanzishwa, na uzinduzi wa mkoa wa 17 Kilimanjaro mnamo 29 Januari 2025 ni uthibitisho wa mafanikio yake katika kuenea kitaifa. Hapa ni tathmini ya maendeleo ya kampeni hii tangu kuanzishwa kwake: 1. Ufanisi wa Kampeni Hadi Sasa – MSLAC …
Soma zaidi »WAZIRI NDUMBARO: KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAWAFIKIA WATANZANIA 775,119
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, amesema kuwa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia inayoendelea kutekelezwa nchini imefanikiwa kuwafikia Watanzania 775,119 kutoka mikoa 11 hadi kufikia tarehe 24 Januari 2025. Kampeni hii inalenga kuwasaidia wananchi kupata elimu na msaada wa kisheria ili kutatua changamoto mbalimbali …
Soma zaidi »Mhe. Dkt. Philip Mpango katika Maadhimisho ya Miaka 25 ya Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimkabidhi zawadi Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma iliyotolewa na Chama cha Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania (TAWJA) wakati wa Maadhimisho ya Miaka 25 ya Chama hicho yaliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+